Exodus 12:26-27

26 aWatoto wenu watakapowauliza, ‘Sikukuu hii ina maana gani kwenu?’ 27 bBasi waambieni, ‘Hii ni dhabihu ya Pasaka kwa Bwana, ambaye alipita juu ya nyumba za Waisraeli katika nchi ya Misri na hakudhuru nyumba zetu alipowapiga Wamisri.’ ” Ndipo watu wa Israeli waliposujudu na kuabudu.
Copyright information for SwhKC